contact


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, September 9, 2011

WANAFUNZI WAVAMIA OFISI ZA TCU

wanafunzi wakiwa katika maandamano
 mamia ya wanafunzi ambao hawakuchaguliwa na tume ya vyuo vikuu (TCU) kujiunga na vyuo vikuu nchini juzi walivamia ofisi za tume hiyo ili kufahamu sababu za kutochaguliwa kwao licha ya kuwa na vigezo na sifa zote zinazotahitajika ili kuchaguliwa
wanafunzi wakiwa katika maandamano
Vijana hao ni miongoni mwa wanafunzi 10,553 ambao hawakuchaguliwa kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka huu. Idadi ya wanafunzi waliochaguliwa na TCU kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka huu imepungua ukilinganisha na ile ya mwaka jana, 

No comments:

Post a Comment