contact


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Monday, September 19, 2011

SOKO LA SIDO MWANJELWA MBEYA LATEKETEA KWA MOTO

Mbunge wa Mbeya mjini, Mh Joseph Mbilinyi aka Sugu akiwa ametembelea soko la SIDO mwanjelwa jijini Mbeya likiwa linateketea kwa moto

Moto ukizidi kupamba katika soko la mwanjelwa Mbeya mjini,  raia wakikimbia kuokoa maisha yao na wengine wakikimbilia eneo la tukio kuokoa chochote kinachowezekana, chanzo cha moto huu hakijajulikana mpaka sasa

Mabanda ya soko yakiteketea, kikosi cha kuzima moto cha jiji hili kilifika eneo la tukio kuzima moto na kuokoa watu na mali zao kikiwa na gari bovu na pia likiwa halina maji ya kuzimia moto huu

No comments:

Post a Comment