bodi ya mikopo elimu ya juu |
wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi imetoa muda wa wiki mbili kwa bodi ya mikopo kupitia upya majina ya wanafunzi waliokosa mikopo lakini wakiwa na vigezo vyote vya kupata mikopo
imeshangaza kuona ni idadi ndogo tu ya wanafunzi walioomba mikopo kwa mwaka wa masomo 2011\12 wamefanikiwa kupata mikopo hiyo ikiacha idadi kubwa wakiwa wamekosa. HELSB imekubali kufanya uhakiki huo na bila shaka baada ya wiki mbili tutajua majibu kamili
baadhi ya viongozi HELSB |
No comments:
Post a Comment