contact


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, September 9, 2011

BODI YA MIKOPO KUCHUNGUZA TENA UTOAJI WA MKOPO KWA WALIOKOSA

bodi ya mikopo elimu ya juu
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu Tanzania (HELSB) imepewa muda wa wiki mbili tu kuhakiki waliokosa mikopo
wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi imetoa muda wa wiki mbili kwa bodi ya mikopo kupitia upya majina ya wanafunzi waliokosa mikopo lakini wakiwa na vigezo vyote vya kupata mikopo
imeshangaza kuona ni idadi ndogo tu ya wanafunzi walioomba mikopo kwa mwaka wa masomo 2011\12 wamefanikiwa kupata mikopo hiyo ikiacha idadi kubwa wakiwa wamekosa. HELSB imekubali kufanya uhakiki huo na bila shaka baada ya wiki mbili tutajua majibu kamili
baadhi ya viongozi HELSB
 kumekua na tetesi kwamba kitendo cha wanafunzi kuandamana kuongezewa kiasi cha fedha ya mkopo ndio chanzo cha waombaji wengi kukosa mkopo sasa, tusubiri majibu ya bodi na sababu zilizofanya idadi kubwa ya waombaji mikopo kwa wakati huu kukosa

No comments:

Post a Comment