Muonekano wa nje wa meli ya MV Spice Islander kabla ya kupata ajali, meli hii inasemekana ilibeba abiria zaidi ya 1500, idadi ambayo ni zaidi ya mara mbili ya idadi ya abiria inayopaswa kubeba |
Baadhi ya miili ya abiria iliyopatikana katika ajali hiyo, mamia ya watu wamepoteza uhai katika ajali hii |
Baadhi ya wahanga wa ajali hii waliofanikiwa kuokolewa |
Makaburi yaliyochimbwa Zanzibar kwa ajili ya kuwazika marehemu wa ajali ya meli |
Askari na raia wakijitahidi kuokoa abiria waliosalimika katika ajali hiyo, kikosi cha jeshi la polisi wanamaji KMKM na JKU bado vinaendelea na utafutaji wa miili ya abiria wengine wa ajali hiyo |
muonekano wa meli ya MV spice ikiwa inaendelea kuzama ndani ya maji |
Baadhi ya miili ya watoto wadogo waliopoteza maisha katika ajali ya meli |
No comments:
Post a Comment