contact


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Wednesday, August 3, 2011

SERENGETI FIESTA 2011, Aina Majotrooooo

msanii wa kizazi kipya Prof Jay akiwarusha mashabiki ndani ya uwanja wa CCM Kirumba Mwanza

SHAGGY, Msanii wa kimataifa kutoka Jamaica akiwaburudisha mashabiki ndani ya Rock city


mashabiki wakigambeka kitu cha serengeti pale kati, full shangwe


jukwaa la fiesta 2011, ebwanaeee ni noumaa, watu kibaaoooo

Adam Mchomvu, mtangazaji Cloudz fm ndie aliekua MC fiesta ya Mza akiwazingua mashabik kama kawa

msanii Diamond akifanya bonge moja la show, salute kijana

Godzilla, tupe mambo bro.

Ludacris, msanii wa kimataifa from USA akidondosha bonge la show ndani ya viwanja vya leaders, Ludacris ndie aliekua mgeni rasmi fiesta2011, jamaa ni mkali

msanii wa kizazi kipya mwana FA au Binamu akitema rymes, kiufupi fiesta ya mwaka huu ilikua Off da hook, kama hukuweza kuhudhuria trust me, umemic bonge moja la moment

No comments:

Post a Comment