contact


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Wednesday, August 10, 2011

MHIMBILI UNIVERSITY HAISAJILI TENA WANAFUNZI

Chuo cha mhimbili, MHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES (MUHAS) chafuta udahili wa wanafunzi kwa mwaka wa kwanza. Inasemekana utawala wa chuo hicho hauna mpango wa kudahili wanafunzi wapya wanaotaka kujiunga chuoni hapo kwa muda wa miaka kadhaa hadi wanafunzi wote waliopo watakapomalizika.
Bado haijajulikana kama lengo la utawala ni kubadili mfumo mzima wa utoaji elimu kwa wanafunzi wapya watakaoanza tena kusoma chuoni hapo au ni kwa ajili ya marekebisho ya majengo ya chuo hicho ambayo kwa kweli hayana mvuto hata kidogo.
Skulliz blog bado inaendelea kufanya uchunguzi ili kupata habari kamili then kama kawa mzigo utadondoshwa hapa hapa live bila chenga, stay tunned brothers n sisterz

No comments:

Post a Comment