kumbe kweli lisemwalo huwa lipo, zilianza tetesi tetesi tu na wenyewe wakakana sana, ooh sisi ni marafiki tu, tupo karibu coz kuna kazi tunafanya pamoja, kumbe kulikua na somethig behind, its good now mmeamua kuweka wazi tu,
|
diamond na Wema wamechil kimahaaabaaaa |
|
ayayayayayaaaa, jiachieni vijana, Diamond congrats sana naona mtot mzuri kabwaga zake zote kwako, |
No comments:
Post a Comment