Monday, October 24, 2011
WANACHUO SJMC KUANDAMANA BODI YA MIKOPO LEO
Licha ya wanafunzi kupiga kelele kibao na migomo ya hapa na pale kuielekea bodi ya mikopo ya elimu ya juu Tanzania, bodi hiyo inaonyesha live kutozingatia kwa kuendelea kuchelewesha mikopo ya wanafunzi. Hii inatokana na wanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kikuu cha Dar es Salaam kitengo cha uandishi wa habari na mawasiliano kwa umma (sjmc) kutopata mkopo wao hadi leo, Wanafunzi wa chuo hicho sasa hivi wameamua kwenda bodi ya mikopo ili wakapate kujua ni ishu gani inaendelea na kwanini haya matatizo hayaishi, ni uzembe tu wa wafanyakazi au inakuaje, tunakoelekea kama tatizo hili litaendelea itakua balaa, Bodi kaeni chonjo mmeshatuchosha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment